Ajira

Walioitwa kwenye Usaili Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

Walioitwa kwenye Usaili Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

Hii hapa orodha ya majina Walioitwa kwenye Usaili Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 12-09-2025 hadi 13-09-2025 na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

Pakua PDF hapa

Leave a Comment