in

Mabadiliko ya Usaili Kada za Ualimu 2025

Mabadiliko ya Usaili Kada za Ualimu 2025 Waombaji kazi wote wa kada zifuatazo:

  • MWALIMU DARAJA IIIB – Kemia, Jiografia, Baiolojia, Tehama
  • MWALIMU DARAJA IIIA – Elimu ya Awali
Mabadiliko ya Usaili Kada za Ualimu 2025

Walioitwa kwenye usaili wa Mahojiano yanayotarajiwa kufanyika tarehe 24.01.2025, mkoani Tabora, mnaarifiwa kuwa kuna mabadiliko ya mahali pa kufanyia usaili.

Mahali Mpya:
Usaili wa Mahojiano utafanyika katika Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC), Tabora, badala ya Shule ya Sekondari ya Wasichana Tabora kama ilivyotangazwa awali tarehe 11.01.2025.

Tarehe na Muda:
Tarehe na muda wa usaili utabaki kama ilivyoelezwa kwenye tangazo la awali.

Kwa maelezo zaidi, tafadhali tembelea tovuti yetu:
👉 www.ajira.go.tz

Soma zaidi:

What do you think?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GIPHY App Key not set. Please check settings