Ajira

Mabadiliko ya Tarehe ya Usaili Jiji la Tanga

Mabadiliko ya Tarehe ya Usaili Jiji la Tanga

Mabadiliko ya Tarehe ya Mkurugenzi wa Jiji la Tanga anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote walioi t w a k w e n y e u s a i l i kuwa kuna mabadiliko ya tarehe za kufanya usaili. Usaili utafanyika tarehe 12/09/2025 hadi tarehe 13/09/2025 badala ya tarehe zilizotajwa kwenye tangazo la awali. Aidha, muda na maelekezo mengine muhimu yatabaki kama yalivyotolewa kwenye tangazo la kuitwa kwenye usaili.

Pakua PDF hapa

Leave a Comment